Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 82:3 - Swahili Revised Union Version

3 Mfanyieni hukumu maskini na yatima; Mtendeeni haki aliyeonewa, na fukara;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Wapeni wanyonge na yatima haki zao; tekelezeni haki za wanaoonewa na fukara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Wapeni wanyonge na yatima haki zao; tekelezeni haki za wanaoonewa na fukara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Wapeni wanyonge na yatima haki zao; tekelezeni haki za wanaoonewa na fukara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na waliodhulumiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na walioonewa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Mfanyieni hukumu maskini na yatima; Mtendeeni haki aliyeonewa, na fukara;

Tazama sura Nakili




Zaburi 82:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu nilimwokoa maskini aliyenililia; Yatima naye, na yule asiyekuwa na mtu wa kumsaidia.


Ikiwa nimewainulia mayatima mkono, Nilipoona msaada wangu langoni;


Ili kumhukumu yatima na aliyeonewa, Binadamu aliye udongo asizidi kudhulumu.


wala usimpendelee mtu mnyonge katika neno lake.


Usipotoe hukumu ya mtu maskini katika neno lake.


Fumbua kinywa chako, uhukumu kwa haki; Uwapatie maskini na wahitaji haki yao.


jifunzeni kutenda mema; takeni hukumu na haki; wasaidieni walioonewa; mpatieni yatima haki yake; mteteeni mjane.


Wakuu wako ni waasi, na rafiki za wezi; kila mtu hupenda rushwa, hufuata malipo; hawampatii yatima haki yake, wala maneno ya mjane hayawafikii.


Ee nyumba ya Daudi, BWANA asema hivi, Hukumuni hukumu ya haki asubuhi, mkawaponye waliotekwa nyara na mkono wake aliyewadhulumu, ghadhabu yangu isije ikatoka kama moto, ikaunguza, asiweze mtu yeyote kuuzima, kwa sababu ya uovu wa matendo yenu.


Alihukumu maneno ya maskini na mhitaji; hapo ndipo alipofanikiwa. Je! Huku siko kunijua, asema BWANA?


BWANA asema hivi, Fanyeni hukumu na haki, mkamtoe yeye aliyetekwa katika mikono ya mdhalimu; wala msiwatende mabaya mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kuwadhulumu, wala msimwage damu ya mtu asiye na hatia katika mahali hapa.


Wamenenepa sana, wang'aa; naam, wamepita kiasi kwa matendo maovu; hawatetei madai ya yatima, ili wapate kufanikiwa; wala hawaamui haki ya mhitaji.


BWANA wa majeshi amesema hivi, ya kwamba, Fanyeni hukumu za kweli, kila mtu na amwonee ndugu yake rehema na huruma;


Huwafanyia yatima na mjane hukumu ya haki, naye humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.


Usipotoshe hukumu ya mgeni, wala ya yatima; wala usitwae mavazi ya mjane, yawe rehani;


Dini iliyo safi, isiyo na dosari mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo