Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 81:2 - Swahili Revised Union Version

2 Pazeni zaburi, pigeni matari, Kinubi chenye sauti nzuri, na kinanda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 vumisheni wimbo wa shangwe, pigeni ngoma, chezeni zeze na kinubi cha sauti nzuri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 vumisheni wimbo wa shangwe, pigeni ngoma, chezeni zeze na kinubi cha sauti nzuri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 vumisheni wimbo wa shangwe, pigeni ngoma, chezeni zeze na kinubi cha sauti nzuri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Anzeni wimbo, pigeni matari, pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Anzeni wimbo, pigeni matari, pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Pazeni zaburi, pigeni matari, Kinubi chenye sauti nzuri, na kinanda.

Tazama sura Nakili




Zaburi 81:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

hata ikawa, wenye panda na waimbaji walipokuwa kama mmoja, wakisikizisha sauti moja ya kumsifu na kumshukuru BWANA nao wakipaza sauti pamoja na panda na matoazi na vinanda, wakimsifu BWANA, wakisema, Kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele; ndipo nyumba ikajawa na wingu, naam, nyumba ya BWANA,


na Maaseya, na Shemaya, na Eleazari, na Uzi, na Yehohanani, na Malkiya, na Elamu, na Ezeri. Waimbaji wakaimba kwa sauti kuu, akiwa Yezrahia msimamizi wao.


Ee nguvu zangu, nitakuimbia sifa, Maana Ewe Mungu ndiwe ngome yangu, Mungu wa fadhili zangu.


Kwa chombo chenye nyuzi kumi, Na kwa kinanda, Na kwa mlio wa kinubi.


Na Miriamu, nabii mwanamke, dada yake Haruni, akatwaa tari mkononi mwake; wanawake wakatoka wote wakaenda nyuma yake, wenye matari na kucheza.


Nao walipokwisha kuimba walitoka kwenda katika mlima wa Mizeituni.


mkisemezana kwa zaburi na tenzi na nyimbo za rohoni, huku mkiimba na kumshangilia Bwana mioyoni mwenu;


Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.


Kuna mtu miongoni mwenu anayeteseka? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo