Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 8:7 - Swahili Revised Union Version

7 Kondoo, na ng'ombe wote pia; Naam, na wanyama wa porini;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Kondoo, ng'ombe, na wanyama wa porini;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Kondoo, ng'ombe, na wanyama wa porini;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 kondoo, ng'ombe, na wanyama wa porini;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Mifugo na makundi yote pia, naam, na wanyama wa kondeni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Mifugo na makundi yote pia, naam, na wanyama wa kondeni,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Kondoo, na ng'ombe wote pia; Naam, na wanyama wa porini;

Tazama sura Nakili




Zaburi 8:7
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila kiumbe kitambaacho nchini.


Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuimiliki; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.


Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo