Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 6:5 - Swahili Revised Union Version

5 Maana mautini hapana kumbukumbu lako; Katika kuzimu ni nani atakayekushukuru?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Huko kwa wafu hakuna anayekukumbuka; huko kuzimu ni nani awezaye kukusifu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Huko kwa wafu hakuna anayekukumbuka; huko kuzimu ni nani awezaye kukusifu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Huko kwa wafu hakuna anayekukumbuka; huko kuzimu ni nani awezaye kukusifu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa Kuzimu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Maana mautini hapana kumbukumbu lako; Katika kuzimu ni nani atakayekushukuru?

Tazama sura Nakili




Zaburi 6:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wafu hawamsifu Mungu BWANA, Wala yeyote ashukaye kwenye kimya;


Nikaliitia jina la BWANA. Ee BWANA, nakuomba sana, Uniokoe nafsi yangu.


Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya BWANA.


Mna faida gani katika damu yangu Nishukapo Shimoni? Mavumbi yatakusifu? Yatautangaza uaminifu wako?


Urudi, Ee BWANA utakasirika hadi lini? Wahurumie watumishi wako.


Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe.


Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenituma maadamu ni mchana, usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo