Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 41:3 - Swahili Revised Union Version

3 BWANA atamtegemeza alipo mgonjwa kitandani. Katika ugonjwa wake unamponya maradhi yake yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Mwenyezi-Mungu atamsaidia awapo mgonjwa, atamponya maradhi yake yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Mwenyezi-Mungu atamsaidia awapo mgonjwa, atamponya maradhi yake yote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Mwenyezi-Mungu atamsaidia awapo mgonjwa, atamponya maradhi yake yote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Mwenyezi Mungu atamtegemeza akiwa mgonjwa kitandani, na atamwinua kutoka kitandani mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 bwana atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani, atamwinua kutoka kitandani mwake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 41:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, BWANA asema hivi, Kwa kuwa umetuma wajumbe waulize kwa Baal-zebubu, mungu wa Ekroni, je! Ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli, uulize neno lake? Kwa hiyo hutashuka katika kile kitanda ulichokipanda, bali hakika utakufa.


Wakamwambia, Mtu alitokea, akaonana nasi, akatuambia, Nendeni, rudini kwa mfalme yule aliyewatuma, mkamwambie, BWANA asema hivi Je! Ni kwa sababu hapana Mungu katika Israeli, hata mnakwenda kuuliza kwa Baal-zebubu, mungu wa Ekroni? Basi kwa ajili ya hayo hutashuka katika kile kitanda ulichokipanda, bali hakika utakufa.


Mwili wangu na moyo wangu hupunguka, Bali Mungu ni mwamba wa moyo wangu Na sehemu yangu milele.


BWANA akatuamuru kuzifanya amri hizi zote, tumche BWANA, Mungu wetu, tuone mema sikuzote ili atuhifadhi hai kama hivi leo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo