Zaburi 39:2 - Swahili Revised Union Version2 Nilikuwa sisemi, nilinyamaa kimya, Sina faraja, maumivu yangu yakazidi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Nilikuwa kama bubu, bila kusema kitu, nilinyamaza lakini sikupata nafuu. Mateso yangu yalizidi kuwa makali, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Nilikuwa kama bubu, bila kusema kitu, nilinyamaza lakini sikupata nafuu. Mateso yangu yalizidi kuwa makali, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Nilikuwa kama bubu, bila kusema kitu, nilinyamaza lakini sikupata nafuu. Mateso yangu yalizidi kuwa makali, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Lakini niliponyamaza na kutulia, hata pasipo kusema lolote jema, uchungu wangu uliongezeka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Lakini niliponyamaza kimya na kutulia, hata pasipo kusema lolote jema, uchungu wangu uliongezeka. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Nilikuwa sisemi, nilinyamaa kimya, Sina faraja, maumivu yangu yakazidi. Tazama sura |