Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 27:2 - Swahili Revised Union Version

2 Watenda mabaya waliponikaribia, Wanile nyama yangu, Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa wakaanguka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Waovu wakinishambulia, na kutaka kuniangamiza, hao wapinzani wangu watajikwaa na kuanguka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Waovu wakinishambulia, na kutaka kuniangamiza, hao wapinzani wangu watajikwaa na kuanguka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Waovu wakinishambulia, na kutaka kuniangamiza, hao wapinzani wangu watajikwaa na kuanguka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Waovu watakaposogea dhidi yangu ili wale nyama yangu, adui zangu na watesi wangu watakaponishambulia, watajikwaa na kuanguka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Waovu watakaposogea dhidi yangu ili wanile nyama yangu, adui zangu na watesi wangu watakaponishambulia, watajikwaa na kuanguka.

Tazama sura Nakili




Zaburi 27:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona ninyi mnaniudhi kama Mungu, Wala hamkutosheka na nyama yangu?


Kama watu wa hemani mwangu hawakunena, Ni nani awezaye kumpata mtu asiyeshibishwa na yeye kwa nyama?


Walinizunguka kama nyuki, Walizimika kama moto wa miibani; Kwa jina la BWANA niliwakatilia mbali.


Je! Wote wafanyao maovu hawajui? Walao watu wangu kama walavyo mkate, Hawamwiti BWANA.


Kamba za mauti zilinizunguka, Mafuriko ya uovu yakanitia hofu.


Kwa maana mbwa wamenizunguka; Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenidunga mikono na miguu.


BWANA, uinuke, Mungu wangu, uniokoe, Maana umewapiga taya adui zangu wote; Umewavunja meno wasio haki.


Je! Wafanyao maovu hawajui? Walao watu wangu kama walavyo mkate, Hawakumwita MUNGU.


Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako.


Na wengi watajikwaa juu yake, na kuanguka na kuvunjika, na kunaswa na kukamatwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo