Zaburi 27:1 - Swahili Revised Union Version1 BWANA ni nuru yangu na wokovu wangu, Nimwogope nani? BWANA ni ngome ya uzima wangu, Nimhofu nani? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mwenyezi-Mungu ni mwanga wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa? Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha yangu, sitamwogopa mtu yeyote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Mwenyezi Mungu ni nuru yangu na wokovu wangu, nimwogope nani? Mwenyezi Mungu ni ngome ya uzima wangu, nimhofu nani? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 bwana ni nuru yangu na wokovu wangu, nimwogope nani? bwana ni ngome ya uzima wangu, nimhofu nani? Tazama sura |