Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 23:2 - Swahili Revised Union Version

2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Hunipumzisha kwenye malisho mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Hunipumzisha kwenye malisho mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Hunipumzisha kwenye malisho mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Hunilaza katika malisho ya majani mabichi, kando ya maji matulivu huniongoza,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Hunilaza katika malisho ya majani mabichi, kando ya maji matulivu huniongoza,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza.

Tazama sura Nakili




Zaburi 23:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akitoa utulivu yeye, ni nani awezaye kuhukumia makosa? Akificha uso wake, ni nani awezaye kumtazama? Kama hufanyiwa taifa, au mtu mmoja, ni sawasawa;


Kuna mto, vijito vyake vyaufurahisha mji wa Mungu, Patakatifu pa maskani zake Aliye Juu.


Wakafika Elimu, palipokuwa na chemchemi kumi na mbili, na mitende sabini; wakapiga kambi hapo, karibu na maji.


Naye atatoa mvua juu ya mbegu zako, upate kuipanda nchi hii; na mkate wa mazao ya nchi, nayo itasitawi na kuzaa tele; katika siku hiyo ng'ombe wako watakula katika malisho mapana.


Kwa sababu watu hawa wameyakataa maji ya Shiloa yapitayo polepole, na kufurahi kwa ajili ya Resini na huyo mwana wa Remalia,


Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye aliye na kiu, maji kutoka chemchemi ya maji ya uzima, bure.


Kisha akanionesha mto wa maji ya uzima, wenye kung'aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha enzi cha Mungu, na cha Mwana-kondoo,


Roho na Bibi arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.


Kwa maana huyo Mwana-kondoo, aliye katikati ya kiti cha enzi, atawachunga, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi yote katika macho yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo