Zaburi 21:7 - Swahili Revised Union Version7 Kwa kuwa mfalme humtumainia BWANA, Na kwa fadhili zake Aliye Juu hatatikisika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Mfalme anamtumainia Mwenyezi-Mungu; kwa fadhili za Mungu Mkuu atakuwa salama. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Mfalme anamtumainia Mwenyezi-Mungu; kwa fadhili za Mungu Mkuu atakuwa salama. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Mfalme anamtumainia Mwenyezi-Mungu; kwa fadhili za Mungu Mkuu atakuwa salama. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa kuwa mfalme anamtumaini Mwenyezi Mungu; kwa upendo usiokoma wa Aliye Juu Sana hatatikiswa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa kuwa mfalme anamtumaini bwana; kwa upendo usiokoma wa Aliye Juu Sana hatatikiswa. Tazama sura |