Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 146:3 - Swahili Revised Union Version

3 Msiwatumainie wakuu, Wala binadamu ambaye hakuna wokovu kwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Msiwategemee wakuu wa dunia; hao ni binadamu tu, hawawezi kuokoa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Msiwategemee wakuu wa dunia; hao ni binadamu tu, hawawezi kuokoa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Msiwategemee wakuu wa dunia; hao ni binadamu tu, hawawezi kuokoa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Usiweke tumaini lako kwa wakuu, kwa wanadamu ambao hufa, ambao hawawezi kuokoa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Usiweke tumaini lako kwa wakuu, kwa wanadamu ambao hufa, ambao hawawezi kuokoa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Msiwatumainie wakuu, Wala binadamu ambaye hakuna wokovu kwake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 146:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, BWANA asipokusaidia, nikusaidieje mimi? Ya uwanjani mwa kupuria, au ya shinikizoni?


Wakati huo Hanani mwonaji akamwendea Asa mfalme wa Yuda, akamwambia, Kwa kuwa umemtegemea mfalme wa Shamu, wala hukumtegemea BWANA, Mungu wako, kwa hiyo limekutoka jeshi la mfalme wa Shamu mkononi mwako.


Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai.


Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai kitu.


Hakika binadamu ni ubatili, Na wenye cheo ni uongo, Katika mizani huinuka; Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.


Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani?


Katika siku ile, asema BWANA wa majeshi, ule msumari uliokazwa katika mahali palipo imara utalegea; nao utakatwa na kuanguka chini, na ule mzigo uliokuwa juu yake utakatiliwa mbali; maana BWANA amesema haya.


Basi Wamisri ni wanadamu wala si Mungu, na farasi wao ni nyama wala si roho; na BWANA atakaponyosha mkono wake, yeye asaidiaye atajikwaa, na yeye asaidiwaye ataanguka, nao wataangamia wote pamoja.


Isaya akawaambia, Mwambieni bwana wenu maneno haya; BWANA asema hivi, Usiyaogope maneno uliyoyasikia, ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo