Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 101:7 - Swahili Revised Union Version

7 Hatakaa ndani ya nyumba yangu Mtu atendaye hila. Asemaye uongo hatathibitika Mbele ya macho yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Mwongo yeyote hatakaa nyumbani mwangu; hakuna msema uongo atakayekaa kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Mwongo yeyote hatakaa nyumbani mwangu; hakuna msema uongo atakayekaa kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Mwongo yeyote hatakaa nyumbani mwangu; hakuna msema uongo atakayekaa kwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Mdanganyifu hatakaa nyumbani mwangu, yeye asemaye kwa uongo hatasimama mbele yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Mdanganyifu hatakaa nyumbani mwangu, yeye asemaye kwa uongo hatasimama mbele yangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Hatakaa ndani ya nyumba yangu Mtu atendaye hila. Asemaye uongo hatathibitika Mbele ya macho yangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 101:7
10 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi, kwa wingi wa fadhili zako, Nitaingia nyumbani mwako; Na kusujudu kwa kicho, Nikilielekea hekalu lako takatifu.


Ulimi wako watunga madhara, Kama wembe mkali, Ewe mwenye hila.


Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu.


Na mkono wangu utakuwa juu ya manabii wanaoona ubatili, na kutabiri uongo; hawatakuwa katika mashauri ya watu wangu, wala hawataandikwa katika maandiko ya nyumba ya Israeli, wala hawataingia katika nchi ya Israeli; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana MUNGU.


Msiibe, wala msidanganye, wala msiambiane uongo.


ashike mahali katika huduma hii na utume huu, alioukosa Yuda, aende zake mahali pake mwenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo