Zaburi 1:5 - Swahili Revised Union Version5 Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Kwa hiyo watu waovu wataanguka wakati wa hukumu, wenye dhambi hawatakaa na kusanyiko la waadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Kwa hiyo watu waovu wataanguka wakati wa hukumu, wenye dhambi hawatakaa na kusanyiko la waadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Kwa hiyo watu waovu wataanguka wakati wa hukumu, wenye dhambi hawatakaa na kusanyiko la waadilifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki. Tazama sura |