Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 1:5 - Swahili Revised Union Version

5 Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Kwa hiyo watu waovu wataanguka wakati wa hukumu, wenye dhambi hawatakaa na kusanyiko la waadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Kwa hiyo watu waovu wataanguka wakati wa hukumu, wenye dhambi hawatakaa na kusanyiko la waadilifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Kwa hiyo watu waovu wataanguka wakati wa hukumu, wenye dhambi hawatakaa na kusanyiko la waadilifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki.

Tazama sura Nakili




Zaburi 1:5
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani atakayepanda katika mlima wa BWANA? Ni nani atakayesimama katika patakatifu pake?


Usiiondoe nafsi yangu pamoja na wakosaji, Wala uhai wangu pamoja na wauaji.


Wajivunao hawatasimama mbele za macho yako; Unawachukia wote watendao uovu.


BWANA amejidhihirisha na kutekeleza hukumu; Amemnasa mdhalimu kwa kazi ya mikono yake.


Ndipo mtakaporudi, nanyi mtapambanua kati ya wenye haki na waovu, kati ya yeye amtumikiaye Mungu na yeye asiyemtumikia.


Ndivyo itakavyokuwa katika mwisho wa dunia; malaika watatokea, watawatenga waovu mbali na wenye haki,


na mataifa yote yatakusanyika mbele zake; naye atawabagua kama vile mchungaji abaguavyo kondoo na mbuzi;


Kisha atawaambia na wale walioko katika mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake;


Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele.


Basi, kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka katika haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.


ili afanye hukumu juu ya watu wote, na kuwaadhibu wote wasiomcha Mungu, kwa ajili ya kazi zao zote za upotevu walizozitenda bila kumcha Mungu, na kwa ajili ya maneno yote maovu ambayo hao wenye dhambi wasiomcha Mungu wameyanena juu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo