Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 1:4 - Swahili Revised Union Version

4 Sivyo walivyo wasio haki; Hao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Lakini waovu sivyo walivyo; wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Lakini waovu sivyo walivyo; wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Lakini waovu sivyo walivyo; wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yanayopeperushwa na upepo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Sivyo walivyo wasio haki; Hao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.

Tazama sura Nakili




Zaburi 1:4
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ili wawe kama mabua makavu mbele ya upepo, Kama makapi yaliyochukuliwa na dhoruba?


Ndivyo ulivyo mwisho wa hao wamsahauo Mungu; Na matumaini yake huyo mbaya huangamia;


Wawe kama makapi mbele ya upepo, Malaika wa BWANA akiwaangusha chini.


Nikapita na kumbe! Hayuko, Nikamtafuta wala hakuonekana.


Mataifa wananguruma kama ngurumo ya maji mengi; Lakini atawakemea, nao watakimbia mbali sana, Watafukuzwa kama makapi milimani mbele ya upepo, Na kama mavumbi vuruvuru mbele ya tufani.


Lakini wingi wa adui zako utakuwa kama mavumbi laini, na wingi wao watishao utakuwa kama makapi yapitayo; naam, itakuwa mara na kwa ghafla.


Kwa sababu hiyo nitawatawanya, kama makapi yapitayo, kwa upepo wa jangwani.


Kwa sababu hiyo watakuwa kama wingu la asubuhi, na kama umande utowekao upesi, kama makapi yaliyopeperushwa na tufani sakafuni, na kama moshi utokao katika bomba.


Ambaye pepeto lake li mkononi mwake, naye atausafisha sana uwanda wake; na kuikusanya ngano yake ghalani, bali makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo