Zaburi 1:2 - Swahili Revised Union Version2 Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 bali huifurahia sheria ya Mwenyezi-Mungu, na kuitafakari mchana na usiku. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 bali huifurahia sheria ya Mwenyezi-Mungu, na kuitafakari mchana na usiku. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 bali huifurahia sheria ya Mwenyezi-Mungu, na kuitafakari mchana na usiku. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Bali huifurahia Torati ya Mwenyezi Mungu, naye huitafakari hiyo Torati usiku na mchana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Bali huifurahia Torati ya bwana, naye huitafakari hiyo Torati usiku na mchana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Tazama sura |