Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 1:2 - Swahili Revised Union Version

2 Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 bali huifurahia sheria ya Mwenyezi-Mungu, na kuitafakari mchana na usiku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 bali huifurahia sheria ya Mwenyezi-Mungu, na kuitafakari mchana na usiku.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 bali huifurahia sheria ya Mwenyezi-Mungu, na kuitafakari mchana na usiku.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Bali huifurahia Torati ya Mwenyezi Mungu, naye huitafakari hiyo Torati usiku na mchana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Bali huifurahia Torati ya bwana, naye huitafakari hiyo Torati usiku na mchana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.

Tazama sura Nakili




Zaburi 1:2
24 Marejeleo ya Msalaba  

Isaka akatoka ili kutafakari shambani wakati wa jioni; akainua macho yake, akaona, kuna ngamia wanakuja.


Kwa maana huyo Ezra alikuwa ameuelekeza moyo wake kuitafuta sheria ya BWANA, na kuitenda, na kufundisha maagizo na hukumu katika Israeli.


Sikurudi nyuma kuiacha amri ya midomo yake; Nimeyatunza maneno ya kinywa chake zaidi ya riziki yangu,


Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake; Maana furaha yangu hutoka kwa BWANA.


Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake.


Heri walio kamili njia zao, Waendao katika sheria ya BWANA.


Moyoni mwangu nimeliweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi.


Uniendeshe katika mapito ya amri zako, Kwa maana nimependezwa nayo.


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Kama sheria yako isingalikuwa furaha yangu, Hapo ningalipotea katika mateso yangu.


Kuyafanya mapenzi yako, Ee Mungu wangu, ndiyo furaha yangu; Naam, sheria yako imo moyoni mwangu.


Ee BWANA, Mungu wa wokovu wangu Mchana na usiku nimelia mbele zako.


Maneno yako yalionekana, nami nikayala; na maneno yako yalikuwa ni furaha kwangu, na shangwe ya moyo wangu; maana nimeitwa kwa jina lako, Ee BWANA, Mungu wa majeshi.


Na Mungu, je! Hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku, naye ni mvumilivu kwao?


Naye ni mjane wa miaka themanini na minne; haondoki katika hekalu, ila huabudu usiku na mchana kwa kufunga na kuomba.


Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,


Maana, ndugu, mnakumbuka taabu yetu na masumbufu yetu; kwa kuwa mchana na usiku tulifanya kazi tusije tukamlemea mtu wa kwenu awaye yote, huku tukiwahubiria Injili ya Mungu.


Uyatafakari hayo; ukae katika hayo; ili kuendelea kwako kuwe dhahiri kwa watu wote.


Namshukuru Mungu, nimwabuduye kwa dhamiri safi tangu zamani za wazee wangu, kama vile nikukumbukavyo wewe daima, katika kuomba kwangu usiku na mchana.


Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda kulingana na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo utakapositawi sana.


Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo