Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 9:26 - Swahili Revised Union Version

26 Naye akawafanyia hivyo, na kuwaokoa na mkono wa wana wa Israeli, ili wasiwaue.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Basi, alilowatendea ni kuwaokoa mikononi mwa Waisraeli ili wasiangamizwe; hivyo hawakuwaua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Basi, alilowatendea ni kuwaokoa mikononi mwa Waisraeli ili wasiangamizwe; hivyo hawakuwaua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Basi, alilowatendea ni kuwaokoa mikononi mwa Waisraeli ili wasiangamizwe; hivyo hawakuwaua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Kwa hiyo Yoshua akawaokoa mikononi mwa Waisraeli, nao hawakuwaua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Kwa hiyo Yoshua akawaokoa mikononi mwa Waisraeli, nao hawakuuawa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Naye akawafanyia hivyo, na kuwaokoa na mkono wa wana wa Israeli, ili wasiwaue.

Tazama sura Nakili




Yoshua 9:26
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa, tazama, sisi tu mkononi mwako; basi kama uonavyo kuwa ni vyema na haki kwako wewe kututenda, tutende hivyo.


Siku iyo hiyo Yoshua akawafanya kuwa ni wenye kupasua kuni, na wenye kuteka maji, kwa ajili ya mkutano, na kwa ajili ya madhabahu ya BWANA, hata siku hii ya leo, katika mahali hapo atakapopachagua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo