Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 8:26 - Swahili Revised Union Version

26 Kwani huyo Yoshua hakuuzuia mkono wake, huo ulionyosha huo mkuki, hadi hapo alipokuwa amewaangamiza kabisa wenyeji wote wa Ai;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Yoshua hakuushusha mkono wake aliokuwa ameushikilia mkuki wake kuelekea Ai mpaka alipowaua wakazi wote wa mji huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Yoshua hakuushusha mkono wake aliokuwa ameushikilia mkuki wake kuelekea Ai mpaka alipowaua wakazi wote wa mji huo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Yoshua hakuushusha mkono wake aliokuwa ameushikilia mkuki wake kuelekea Ai mpaka alipowaua wakazi wote wa mji huo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Kwa maana Yoshua hakuurudisha ule mkono wake uliokuwa umeuinua mkuki hadi alipomaliza kuwaangamiza wote walioishi Ai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Kwa maana Yoshua hakuurudisha ule mkono wake uliokuwa umeuinua mkuki hadi alipomaliza kuwaangamiza wote walioishi Ai.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Kwani huyo Yoshua hakuuzuia mkono wake, huo ulionyosha huo mkuki, hadi hapo alipokuwa amewaangamiza kabisa wenyeji wote wa Ai;

Tazama sura Nakili




Yoshua 8:26
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yoshua akawaangamiza Amaleki na watu wake kwa ukali wa upanga.


Tukatwaa miji yake yote wakati huo, tukaharibu kabisa kila mji uliokuwa na wanaume, wanawake na watoto; tusimbakize hata mmoja;


Kisha BWANA akamwambia Yoshua, Haya, unyoshe huo mkuki ulio nao mkononi mwako, uuelekeze upande wa Ai; kwa kuwa nitautia mkononi mwako. Basi Yoshua akaunyosha huo mkuki uliokuwa mkononi mwake kuuelekea huo mji.


Lakini wenyeji wa Gibeoni waliposikia habari ya hayo yote Yoshua aliyokuwa amewatenda watu wa Yeriko, na wa Ai,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo