Yoshua 7:19 - Swahili Revised Union Version19 Yoshua akamwambia Akani, Mwanangu, nakusihi, umtukuze BWANA, Mungu wa Israeli, ukaungame kwake; uniambie sasa ulilolitenda; usinifiche. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Yoshua akamwambia Akani, “Mwanangu, mtukuze Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, msifu na kisha uniambie yale uliyotenda, wala usinifiche.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Yoshua akamwambia Akani, “Mwanangu, mtukuze Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, msifu na kisha uniambie yale uliyotenda, wala usinifiche.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Yoshua akamwambia Akani, “Mwanangu, mtukuze Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, msifu na kisha uniambie yale uliyotenda, wala usinifiche.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Ndipo Yoshua akamwambia Akani, “Mwanangu, mtukuze Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli, nawe ukiri kwake. Niambie ni nini ulichotenda; usinifiche.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Ndipo Yoshua akamwambia Akani, “Mwanangu, mtukuze bwana, Mungu wa Israeli, nawe ukiri kwake. Niambie ni nini ulichotenda; usinifiche.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Yoshua akamwambia Akani, Mwanangu, nakusihi, umtukuze BWANA, Mungu wa Israeli, ukaungame kwake; uniambie sasa ulilolitenda; usinifiche. Tazama sura |