Yoshua 24:25 - Swahili Revised Union Version25 Basi Yoshua akafanya agano na wale watu siku ile, akawapa amri na agizo huko Shekemu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Hivyo, Yoshua akafanya agano na Waisraeli huko Shekemu, akawapa masharti na maagizo ya kufuata. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Hivyo, Yoshua akafanya agano na Waisraeli huko Shekemu, akawapa masharti na maagizo ya kufuata. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Hivyo, Yoshua akafanya agano na Waisraeli huko Shekemu, akawapa masharti na maagizo ya kufuata. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Siku ile Yoshua akafanya agano kwa ajili ya watu na hapo Shekemu ndipo alipowaandikia amri na sheria. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Siku ile Yoshua akafanya agano kwa ajili ya watu na hapo Shekemu ndipo alipowaandikia amri na sheria. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Basi Yoshua akafanya agano na wale watu siku ile, akawapa amri na agizo huko Shekemu. Tazama sura |