Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 22:12 - Swahili Revised Union Version

12 Basi, wana wa Israeli waliposikia habari hiyo, mkutano wote wa wana wa Israeli wakakutanika pamoja huko Shilo, ili waende kupigana nao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Waliposikia hivyo, Waisraeli walikusanyika wote huko Shilo kwenda kupigana vita na hayo makabila ya mashariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Waliposikia hivyo, Waisraeli walikusanyika wote huko Shilo kwenda kupigana vita na hayo makabila ya mashariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Waliposikia hivyo, Waisraeli walikusanyika wote huko Shilo kwenda kupigana vita na hayo makabila ya mashariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Waisraeli hao wengine walikusanyika huko Shilo ili wapigane nao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 kusanyiko lote la Israeli wakakusanyika huko Shilo ili wakapigane vita dhidi yao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Basi, wana wa Israeli waliposikia habari hiyo, mkutano wote wa wana wa Israeli wakakutanika pamoja huko Shilo, ili waende kupigana nao.

Tazama sura Nakili




Yoshua 22:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa.


hakika yako uwapige wenyeji wa mji ule kwa makali ya upanga, kwa kuwaangamiza kabisa, pamoja na vitu vyote vilivyomo, na wanyama walio humo, kwa makali ya upanga.


Kisha mkutano mzima wa wana wa Israeli walikutana pamoja hapo Shilo, wakasimamisha hema ya kukutania huko; nayo nchi ilikuwa imeshindwa mbele zao.


Kisha wana wa Israeli wakatuma wajumbe waende kwa wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila la Manase, hadi nchi ya Gileadi; nao ni hawa, Finehasi mwana wa Eleazari kuhani;


Nao wakawafikia hao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila la Manase, katika nchi ya Gileadi, na wakasema nao, wakinena,


Kisha Finehasi, mwana wa Eleazari, kuhani, na hao wakuu, wakarudi na kuwaacha wana wa Reubeni na wana wa Gadi, wakatoka katika nchi ya Gileadi, na kuingia nchi ya Kanaani; wakawarudia wana wa Israeli, wakawapa habari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo