Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 21:20 - Swahili Revised Union Version

20 Na jamaa za wana wa Kohathi, Walawi, hao wana wengine wa Kohathi waliosalia, wao walikuwa na miji ya kura yao katika kabila la Efraimu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Watu waliosalia wa ukoo wa Kohathi, ambao pia ni jamaa za kabila la Lawi walipewa miji katika eneo la kabila la Efraimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Watu waliosalia wa ukoo wa Kohathi, ambao pia ni jamaa za kabila la Lawi walipewa miji katika eneo la kabila la Efraimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Watu waliosalia wa ukoo wa Kohathi, ambao pia ni jamaa za kabila la Lawi walipewa miji katika eneo la kabila la Efraimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Na jamaa za wana wa Kohathi, Walawi, hao wana wengine wa Kohathi waliosalia, wao walikuwa na miji ya kura yao katika kabila la Efraimu.

Tazama sura Nakili




Yoshua 21:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

na mwanawe huyo ni Buki, na mwanawe huyo ni Uzi, na mwanawe huyo ni Serahia;


Na jamaa nyingine za wana wa Kohathi walikuwa na miji ya mipakani mwao katika kabila la Efraimu.


Miji yote ya wana wa Haruni, makuhani, ilikuwa ni miji kumi na mitatu, pamoja na mbuga zake za malisho.


Kisha Wakohathi wengine waliosalia walipata kwa kura miji kumi katika jamaa za kabila la Efraimu, na katika kabila la Dani, na katika hiyo nusu ya kabila la Manase.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo