Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 18:5 - Swahili Revised Union Version

5 Watu hao wataigawanya nchi iwe mafungu saba; Yuda atakaa katika mpaka wake huko upande wa kusini, na nyumba ya Yusufu watakaa katika mpaka wao upande wa kaskazini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Nao wataigawanya nchi hiyo sehemu saba. Kabila la Yuda litabaki na sehemu yake ya kusini na kabila la Yosefu kaskazini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Nao wataigawanya nchi hiyo sehemu saba. Kabila la Yuda litabaki na sehemu yake ya kusini na kabila la Yosefu kaskazini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Nao wataigawanya nchi hiyo sehemu saba. Kabila la Yuda litabaki na sehemu yake ya kusini na kabila la Yosefu kaskazini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Mtaigawanya hiyo nchi katika sehemu saba. Yuda atabaki katika eneo lake upande wa kusini na nyumba ya Yusufu katika nchi yake upande wa kaskazini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Mtaigawanya hiyo nchi katika sehemu saba. Yuda atabaki katika eneo lake upande wa kusini na nyumba ya Yusufu katika nchi yake upande wa kaskazini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Watu hao wataigawanya nchi iwe mafungu saba; Yuda atakaa katika mpaka wake huko upande wa kusini, na nyumba ya Yusufu watakaa katika mpaka wao upande wa kaskazini.

Tazama sura Nakili




Yoshua 18:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Haya, jichagulieni watu watatu kwa ajili ya kila kabila; nami nitawatuma, nao watainuka waende kati ya hiyo nchi, na kuiandika kama urithi wao ulivyo; kisha watanijia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo