Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 18:2 - Swahili Revised Union Version

2 Yalikuwa yamebaki kati yao makabila saba ya wana wa Israeli ambayo yalikuwa hayajagawiwa urithi wao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Yalikuwa yamebaki kati yao makabila saba ambayo hayakuwa yamegawiwa sehemu yao ya nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Yalikuwa yamebaki kati yao makabila saba ambayo hayakuwa yamegawiwa sehemu yao ya nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Yalikuwa yamebaki kati yao makabila saba ambayo hayakuwa yamegawiwa sehemu yao ya nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 lakini palikuwa bado makabila saba ya Israeli ambayo yalikuwa hayajapokea urithi wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 lakini palikuwa bado makabila saba ya Israeli ambayo yalikuwa hayajapokea urithi wao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Yalikuwa yamebaki kati yao makabila saba ya wana wa Israeli ambayo yalikuwa hayajagawiwa urithi wao.

Tazama sura Nakili




Yoshua 18:2
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha mkutano mzima wa wana wa Israeli walikutana pamoja hapo Shilo, wakasimamisha hema ya kukutania huko; nayo nchi ilikuwa imeshindwa mbele zao.


Yoshua akawauliza wana wa Israeli, akasema, Je! Hata lini mtakuwa walegevu katika kuingia kwenu na kuimiliki hiyo nchi, ambayo yeye BWANA, Mungu wa baba zenu, amewapa?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo