Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 18:18 - Swahili Revised Union Version

18 kisha ukaendelea mbele ubavuni kuikabili Araba, upande wa kuelekea kaskazini, nao ukateremka hadi hiyo Araba;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kutoka hapo, mpaka ulizunguka kaskazini kwenye ukingo wa juu wa Araba na kuishia huko Araba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kutoka hapo, mpaka ulizunguka kaskazini kwenye ukingo wa juu wa Araba na kuishia huko Araba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kutoka hapo, mpaka ulizunguka kaskazini kwenye ukingo wa juu wa Araba na kuishia huko Araba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Ukaendelea upande wa mteremko wa kaskazini wa Beth-Araba ukateremka hadi Araba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Ukaendelea upande wa mteremko wa kaskazini wa Beth-Araba ukateremka hadi Araba.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 kisha ukaendelea mbele ubavuni kuikabili Araba, upande wa kuelekea kaskazini, nao ukateremka hadi hiyo Araba;

Tazama sura Nakili




Yoshua 18:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

na huo mpaka ukaendelea hadi Beth-hogla, kisha ukaendelea upande wa kaskazini wa Beth-araba; kisha mpaka ukaendelea hadi jiwe la Bohani mwana wa Reubeni;


Huko nyikani, Beth-araba, na Midini, na Sekaka;


kisha ulipinda upande wa kaskazini, nao ukatokea hapo Enshemeshi, ukatokea hadi kufikia Gelilothi, ambao ni mkabala wa makweleo ya Adumimu; kisha uliteremka hadi jiwe la Bohani mwana wa Reubeni;


kisha mpaka ukaendelea mbele ubavuni mwa Beth-hogla upande wa kaskazini; na mwisho wa mpaka ulikuwa katika ile hori ya kaskazini ya Bahari ya Chumvi, mwisho wa kusini wa mto wa Yordani; huo ndio mpaka wa upande wa kusini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo