Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 17:8 - Swahili Revised Union Version

8 Hiyo nchi ya Tapua ilikuwa ni mali ya Manase; lakini ule mji wa Tapua uliokuwa katika mpaka wa Manase ulikuwa ni mali ya wana wa Efraimu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Nchi ya Tapua ilikuwa mali yake Manase, lakini mji wa Tapua, ambao ulikuwa mpakani, ulikuwa mali ya wazawa wa Efraimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Nchi ya Tapua ilikuwa mali yake Manase, lakini mji wa Tapua, ambao ulikuwa mpakani, ulikuwa mali ya wazawa wa Efraimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Nchi ya Tapua ilikuwa mali yake Manase, lakini mji wa Tapua, ambao ulikuwa mpakani, ulikuwa mali ya wazawa wa Efraimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 (Nchi ya Tapua ilikuwa mali ya Manase, lakini Tapua yenyewe iliyo mpakani mwa nchi ya Manase ilikuwa ya Waefraimu.)

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 (Nchi ya Tapua ilikuwa mali ya Manase, lakini Tapua yenyewe iliyo mpakani mwa nchi ya Manase ilikuwa ya Waefraimu.)

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Hiyo nchi ya Tapua ilikuwa ni mali ya Manase; lakini ule mji wa Tapua uliokuwa katika mpaka wa Manase ulikuwa ni mali ya wana wa Efraimu.

Tazama sura Nakili




Yoshua 17:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na mpakani mwa Manase, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Efraimu, fungu moja.


mfalme wa Tapua, mmoja; na mfalme wa Heferi, mmoja;


Zanoa, Enganimu, Tapua, Enamu;


Yanumu, Beth-tapua, Afeka;


Kutoka hapo Tapua mpaka ukaendelea upande wa magharibi hadi kijito cha Kana; na mwisho wake ulikuwa baharini. Huo ndio urithi wa hao wana wa Efraimu kwa kufuata jamaa zao;


Mpaka wa Manase ulikuwa kutoka Asheri hadi Mikmeta, ulioelekea Shekemu; tena mpaka ukaendelea upande wa kulia, hata kuwafikia wenyeji wa Entapua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo