Yoshua 16:4 - Swahili Revised Union Version4 Na wana wa Yusufu, Manase na Efraimu, walitwaa urithi wao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Wazawa wa Yosefu, yaani kabila la Manase na kabila la Efraimu, walipewa nchi hiyo kuwa milki yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Wazawa wa Yosefu, yaani kabila la Manase na kabila la Efraimu, walipewa nchi hiyo kuwa milki yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Wazawa wa Yosefu, yaani kabila la Manase na kabila la Efraimu, walipewa nchi hiyo kuwa milki yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Kwa hiyo Manase na Efraimu, wazao wa Yusufu, walipokea urithi wao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kwa hiyo Manase na Efraimu, wazao wa Yusufu, walipokea urithi wao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Na wana wa Yusufu, Manase na Efraimu, walitwaa urithi wao. Tazama sura |