Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 15:31 - Swahili Revised Union Version

31 Siklagi, Madmana, Sansana;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Siklagi, Madmana, Sansana,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Siklagi, Madmana, Sansana,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Siklagi, Madmana, Sansana,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Siklagi, Madmana, Sansana,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Siklagi, Madmana, Sansana,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Siklagi, Madmana, Sansana;

Tazama sura Nakili




Yoshua 15:31
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi hawa ndio wale waliomjia Daudi huko Siklagi, alipokuwa akijificha kwa ajili ya Sauli, mwana wa Kishi; nao walikuwamo miongoni mwa wale mashujaa, waliomsaidia vitani.


Tena akamzaa Shaafu, babaye Madmana; na Sheva babaye Makbena; na babaye Gibea; naye binti Kalebu alikuwa Aksa.


Eltoladi, Kesili, Horma;


Lebaothi, Shilhimu, Aini na Rimoni; miji hiyo yote ni miji ishirini na tisa, pamoja na vijiji vyake.


Siklagi, Beth-markabothi, Hasarsusa;


Ndipo Akishi akampa Siklagi siku ile; kwa sababu hiyo huo mji wa Siklagi ni mali ya wafalme wa Yuda hata hivi leo.


Ikawa, Daudi na watu wake walipokuwa wamefika Siklagi siku ya tatu, hao Waamaleki walikuwa wameshambulia Negebu, na Siklagi, nao wameupiga Siklagi, na kuuchoma moto;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo