Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 15:21 - Swahili Revised Union Version

21 Miji ya mwisho ya kabila la wana wa Yuda upande wa kuelekea mpaka wa Edomu katika nchi ya Negebu ilikuwa ni Kabseeli, Ederi, Yaguri;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Miji iliyokuwa upande wa kusini kabisa wa nchi ya Yuda kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Miji iliyokuwa upande wa kusini kabisa wa nchi ya Yuda kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Miji iliyokuwa upande wa kusini kabisa wa nchi ya Yuda kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Miji ya kusini kabisa ya kabila la Yuda katika Negebu kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Miji ya kusini kabisa ya kabila la Yuda katika Negebu kuelekea mpaka wa Edomu ilikuwa: Kabseeli, Ederi, Yaguri,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Miji ya mwisho ya kabila la wana wa Yuda upande wa kuelekea mpaka wa Edomu katika nchi ya Negebu ilikuwa ni Kabseeli, Ederi, Yaguri;

Tazama sura Nakili




Yoshua 15:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akasafiri Israeli akapiga hema yake upande wa pili wa mnara wa Ederi.


Tena Benaya, mwana wa Yehoyada, mtu hodari wa Kabseeli aliyekuwa amefanya mambo makuu; aliwaua simba wawili wakali wa Moabu, pia aliingia katika shimo na kumwua simba wakati wa theluji;


Nao wakakaa huko Beer-sheba, na Molada, na Hasar-shuali;


Na kuhusu habari za vijiji na mashamba yake; wengine wa wana wa Yuda walikuwa wakikaa Kiriath-arba na vijiji vyake, na katika Diboni na vijiji vyake, na Yekabzeeli na vijiji vyake;


na Yerusalemu, na Idumaya, na ng'ambo ya Yordani, na pande za Tiro na Sidoni, mkutano mkuu, waliposikia habari za mambo yote aliyokuwa akiyatenda, wakamwendea.


Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Yuda sawasawa na jamaa zao.


Kina, Dimona, Adada;


Kisha sehemu ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni, maana, kwa ajili ya hilo kabila la wana wa Simeoni, kwa kufuata jamaa zao; na urithi wao ulikuwa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo