Yoshua 14:2 - Swahili Revised Union Version2 kwa kufuata hiyo kura ya urithi wao, vile vile kama BWANA alivyoamuru kwa mkono wa Musa, kwa ajili ya hayo makabila tisa, na hiyo nusu ya kabila. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Sehemu yao hiyo waligawiwa kwa kura kama vile Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose awape yale makabila tisa na nusu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Sehemu yao hiyo waligawiwa kwa kura kama vile Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose awape yale makabila tisa na nusu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Sehemu yao hiyo waligawiwa kwa kura kama vile Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose awape yale makabila tisa na nusu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Urithi wao uligawanywa kwa kura kwa yale makabila tisa na nusu, kama Mwenyezi Mungu alivyoamuru Musa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Urithi wao uligawanywa kwa kura kwa yale makabila tisa na nusu, kama bwana alivyoamuru Musa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 kwa kufuata hiyo kura ya urithi wao, vile vile kama BWANA alivyoamuru kwa mkono wa Musa, kwa ajili ya hayo makabila tisa, na hiyo nusu ya kabila. Tazama sura |