Yoshua 13:33 - Swahili Revised Union Version33 Lakini Musa hakuwapa kabila la Lawi urithi uwao wote; yeye BWANA, Mungu wa Israeli, ndiye urithi wao, kama alivyowaambia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Lakini kabila la Lawi, Mose hakulipa sehemu yao ya nchi, maana aliwaambia kwamba sehemu yao itakuwa kumhudumia Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Lakini kabila la Lawi, Mose hakulipa sehemu yao ya nchi, maana aliwaambia kwamba sehemu yao itakuwa kumhudumia Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Lakini kabila la Lawi, Mose hakulipa sehemu yao ya nchi, maana aliwaambia kwamba sehemu yao itakuwa kumhudumia Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Lakini kwa kabila la Walawi, Musa hakuwapa urithi; Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Lakini kwa kabila la Walawi, Musa hakuwapa urithi; bwana Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israeli ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI33 Lakini Musa hakuwapa kabila la Lawi urithi uwao wote; yeye BWANA, Mungu wa Israeli, ndiye urithi wao, kama alivyowaambia. Tazama sura |