Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 13:32 - Swahili Revised Union Version

32 Hizi ndizo mirathi ambazo Musa alizigawanya katika nchi tambarare za Moabu, ng'ambo ya pili ya Yordani, kukabili Yeriko, upande wa mashariki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Mose alikuwa amewagawia sehemu hizo mbalimbali za nchi iliyokuwa mashariki ya Yeriko na Yordani, wakati alipokuwa kwenye tambarare za Moabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Mose alikuwa amewagawia sehemu hizo mbalimbali za nchi iliyokuwa mashariki ya Yeriko na Yordani, wakati alipokuwa kwenye tambarare za Moabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Mose alikuwa amewagawia sehemu hizo mbalimbali za nchi iliyokuwa mashariki ya Yeriko na Yordani, wakati alipokuwa kwenye tambarare za Moabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Huu ndio urithi Musa alipeana alipokuwa katika tambarare za Moabu, ng’ambo ya Yordani, mashariki mwa Yeriko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Huu ndio urithi alioupeana Musa wakati alipokuwa katika tambarare za Moabu, ng’ambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Hii ndiyo mirathi ambayo Musa aliigawanya katika nchi tambarare za Moabu, ng'ambo ya pili ya Yordani, kukabili Yeriko, upande wa mashariki.

Tazama sura Nakili




Yoshua 13:32
3 Marejeleo ya Msalaba  

na nusu ya Gileadi, na Ashtarothi, na Edrei, hiyo miji ya ufalme wa Ogu katika Bashani, ilikuwa ni ya wana wa Makiri mwana wa Manase maana, kwa hiyo nusu ya wana wa Makiri sawasawa na jamaa zao.


Lakini Musa hakuwapa kabila la Lawi urithi uwao wote; yeye BWANA, Mungu wa Israeli, ndiye urithi wao, kama alivyowaambia.


Kwa kuwa Musa alikuwa amekwisha kuwapa urithi hayo makabila mawili na nusu, ng'ambo ya pili ya Yordani; lakini hakuwapa Walawi urithi wowote kati yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo