Yoshua 13:29 - Swahili Revised Union Version29 Kisha Musa akawapa hao wa nusu ya kabila la Manase urithi wao; ulikuwa ni wa hiyo nusu ya kabila la wana wa Manase sawasawa na jamaa zao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Tena, Mose alikuwa ameipatia nusu ya kabila la Manase kulingana na koo zake, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Tena, Mose alikuwa ameipatia nusu ya kabila la Manase kulingana na koo zake, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Tena, Mose alikuwa ameipatia nusu ya kabila la Manase kulingana na koo zake, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Haya ndio maeneo ambayo Musa alikuwa amewapa nusu ya kabila la Manase, yaani kwa nusu ya jamaa ya uzao wa Manase, kufuatana na koo zao: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Haya ndiyo maeneo ambayo Musa alikuwa amewapa hiyo nusu ya kabila la Manase, yaani kwa nusu ya jamaa ya uzao wa Manase, ukoo kwa ukoo: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI29 Kisha Musa akawapa hao wa nusu ya kabila la Manase urithi wao; ulikuwa ni wa hiyo nusu ya kabila la wana wa Manase sawasawa na jamaa zao. Tazama sura |