Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 13:28 - Swahili Revised Union Version

28 Huo ndio urithi wa wana wa Gadi sawasawa na jamaa zao, miji yake na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Miji na vijiji hivyo ndivyo walivyopewa watu wa kabila la Gadi kulingana na koo zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Miji na vijiji hivyo ndivyo walivyopewa watu wa kabila la Gadi kulingana na koo zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Miji na vijiji hivyo ndivyo walivyopewa watu wa kabila la Gadi kulingana na koo zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Miji hii na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Gadi kufuatana na koo zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Miji hii na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Gadi ukoo kwa ukoo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Huo ndio urithi wa wana wa Gadi sawasawa na jamaa zao, miji yake na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili




Yoshua 13:28
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakakaa huko Gileadi, katika Bashani, na katika miji yake, na katika viunga vyote vya Sharoni, hadi mipakani mwake.


tena katika bonde, Beth-haramu, na Bethnimira, na Sukothi, na Safoni, hiyo iliyosalia ya ufalme wa Sihoni mfalme wa Heshboni, yaani mto wa Yordani na kingo zake, mpaka mwisho wa bahari ya Kinerethi ng'ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki.


Kisha Musa akawapa hao wa nusu ya kabila la Manase urithi wao; ulikuwa ni wa hiyo nusu ya kabila la wana wa Manase sawasawa na jamaa zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo