Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 13:15 - Swahili Revised Union Version

15 Musa akawapa kabila la wana wa Reubeni kwa kadiri ya jamaa zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Sehemu ya nchi ambayo Mose aliwapa watu wa kabila la Reubeni kulingana na jamaa zao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Sehemu ya nchi ambayo Mose aliwapa watu wa kabila la Reubeni kulingana na jamaa zao,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Sehemu ya nchi ambayo Mose aliwapa watu wa kabila la Reubeni kulingana na jamaa zao,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Haya ndio maeneo ambayo Musa alikuwa amewapa kabila la Reubeni kufuatana na koo zao:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Haya ndiyo maeneo ambayo Musa alikuwa amewapa kabila la Reubeni ukoo kwa ukoo:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Musa akawapa kabila la wana wa Reubeni kwa kadiri ya jamaa zao.

Tazama sura Nakili




Yoshua 13:15
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Lea ni Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni, na Lawi, na Yuda, na Isakari, na Zabuloni.


Hawa ndio vichwa vya nyumba za baba zao: wana wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli; ni Hanoki, na Palu, na Hesroni, na Karmi; hao ni jamaa za Reubeni.


Na mpakani mwa Efraimu, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Reubeni, fungu moja.


Lakini hakuwapa watu wa kabila la Lawi urithi wowote ule; maana sadaka za BWANA, Mungu wa Israeli, zisongezwazo kwa njia ya moto ndizo urithi wake huyo, kama alivyomwambia.


Mpaka wao ulikuwa kutoka hapo Aroeri, iliyo pale ukingoni mwa bonde la Arnoni, na huo mji ulio katikati ya bonde, na nchi tambarare yote iliyo karibu na Medeba;


Na sasa yeye BWANA, Mungu wenu, amewapa ndugu zenu kustarehe, kama alivyowaambia; basi sasa rudini ninyi mwende mahemani kwenu, hata nchi ya milki yenu, ambayo huyo Musa, mtumishi wa BWANA, aliwapa ng'ambo ya pili ya Yordani.


Lakini huyo Sihoni hakuwaamini Israeli ili wapite ndani ya mpaka wake; bali Sihoni akawakutanisha watu wake wote, nao wakapiga kambi katika Yahasa, wakapigana na Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo