Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 10:16 - Swahili Revised Union Version

16 Na hawa wafalme watano wakakimbia, wakajificha ndani ya pango la Makeda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Wale wafalme watano walikimbia na kujificha katika pango la Makeda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Wale wafalme watano walikimbia na kujificha katika pango la Makeda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Wale wafalme watano walikimbia na kujificha katika pango la Makeda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Basi wale wafalme watano wakawa wamekimbia kujificha kwenye pango huko Makeda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Basi wale wafalme watano wakawa wamekimbia kujificha kwenye pango huko Makeda.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Na hawa wafalme watano wakakimbia, wakajificha ndani ya pango la Makeda.

Tazama sura Nakili




Yoshua 10:16
17 Marejeleo ya Msalaba  

Wafalme wa majeshi wanakimbia, wanakimbia; Na mwanamke akaaye nyumbani anagawa nyara.


Kwa nini kulala mazizini arukapo hua, Mbawa zake ziking'aa kama fedha Na manyoya yake kama dhahabu?


Wajapochimba waingie katika kuzimu, mkono wangu utawatoa huko; nao wajapopanda hata mbinguni, nitawateremsha toka huko.


Watayaramba mavumbi kama nyoka, kama vitu vitambaavyo juu ya nchi watatoka katika mahali walimojificha, wakitetemeka; watakuja kwa BWANA, Mungu wetu, kwa hofu, nao wataogopa kwa sababu yako.


Basi Yoshua akarudi, na Israeli wote wakarudi pamoja naye, mpaka kambini hapo Gilgali.


Kisha Yoshua aliambiwa habari hiyo, ya kwamba, Hao wafalme watano wameonekana, nao wamejificha ndani ya pango ya Makeda


Ndipo hao wafalme watano wa Waamori, mfalme wa Yerusalemu, na mfalme wa Hebroni na mfalme wa Yarmuthi na mfalme wa Lakishi, na mfalme wa Egloni, wakakutana pamoja, kisha wakakwea, wao na majeshi yao yote, na kupiga kambi yao kinyume cha Gibeoni, na kuupiga vita.


Na wafalme wa dunia, na wakuu, na majemadari, na matajiri, na wenye nguvu, na kila mtumwa, na muungwana, wakajificha katika pango na chini ya miamba ya milima,


Mkono wa Midiani ulikuwa na nguvu juu ya Israeli; tena kwa sababu ya Midiani wana wa Israeli walijifanyia hayo mashimo yaliyo milimani, na hayo mapango, na hizo ngome.


Hata Waisraeli walipoona ya kuwa wako katika dhiki, (maana watu walifadhaishwa), ndipo hao watu wakajificha katika mapango, na katika vichaka, na katika miamba, na katika mashimo, na katika mabirika.


Akafika penye mazizi ya kondoo kando ya njia, na huko kulikuwa na pango; Sauli akaingia ndani ili kwenda haja. Na Daudi na watu wake walikuwa wakikaa mle pangoni ndani sana.


Daudi naye akainuka baadaye, akatoka pangoni, akamwita Sauli, akisema, Bwana wangu, mfalme. Na Sauli alipotazama nyuma, Daudi akainama uso wake hadi chini, akamsujudia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo