Yona 2:10 - Swahili Revised Union Version10 BWANA akasema na yule samaki, naye akamtapika Yona katika pwani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Basi, Mwenyezi-Mungu akamwamuru yule samaki, naye akamtapika Yona kwenye nchi kavu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Basi, Mwenyezi-Mungu akamwamuru yule samaki, naye akamtapika Yona kwenye nchi kavu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Basi, Mwenyezi-Mungu akamwamuru yule samaki, naye akamtapika Yona kwenye nchi kavu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Basi Mwenyezi Mungu akamwamuru yule samaki, naye akamtapika Yona katika nchi kavu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Basi bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 BWANA akasema na yule samaki, naye akamtapika Yona katika pwani. Tazama sura |
Basi, nilipokuja, mbona hapakuwa na mtu? Nilipoita, mbona hapakuwa na mtu aliyenijibu? Je! Mkono wangu ni mfupi, hata nisiweze kukomboa? Au je! Mimi sina nguvu za kuponya? Tazama, kwa kukemea kwangu naikausha bahari, mito ya maji naifanya kuwa jangwa; samaki wao wanuka kwa sababu hapana maji, nao wafa kwa kiu.