Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yona 1:1 - Swahili Revised Union Version

1 Basi neno la BWANA lilimjia Yona, mwana wa Amitai, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Siku moja, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yona, mwana wa Amitai:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Siku moja, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yona, mwana wa Amitai:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Siku moja, neno la Mwenyezi-Mungu lilimjia Yona, mwana wa Amitai:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Neno la Mwenyezi Mungu lilimjia Yona mwana wa Amitai:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Neno la bwana lilimjia Yona mwana wa Amitai:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Basi neno la BWANA lilimjia Yona, mwana wa Amitai, kusema,

Tazama sura Nakili




Yona 1:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye akaurudisha mpaka wa Israeli toka kuingia kwa Hamathi hata bahari ya Araba, sawasawa na neno la BWANA, Mungu wa Israeli, alilolinena kwa mkono wa mtumishi wake Yona mwana wa Amitai, nabii, aliyekuwa wa Gath-heferi.


Simba amekwisha kunguruma, ni nani asiyeogopa? Bwana MUNGU amenena, ni nani awezaye neno ila kutabiri?


Neno la BWANA likamjia Yona mara ya pili, kusema,


Kizazi kibaya na cha zinaa chataka ishara; wala hakitapewa ishara, isipokuwa ishara ya Yona. Akawaacha, akaenda zake.


Watu wa Ninawi watasimama siku ya hukumu pamoja na kizazi hiki, nao watakihukumu kuwa na hatia; kwa sababu wao walitubu kwa mahubiri ya Yona, na hapa pana mkubwa kuliko Yona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo