Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 9:38 - Swahili Revised Union Version

38 Akasema, Naamini, Bwana. Akamsujudia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Basi, huyo mtu akasema, “Ninaamini Bwana!” Akamsujudia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Basi, huyo mtu akasema, “Ninaamini Bwana!” Akamsujudia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Basi, huyo mtu akasema, “Ninaamini Bwana!” Akamsujudia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Yule mtu akasema, “Bwana, naamini.” Naye akamwabudu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Yule mtu akasema, “Bwana, naamini.” Naye akamwabudu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Akasema, Naamini, Bwana. Akamsujudia.

Tazama sura Nakili




Yohana 9:38
10 Marejeleo ya Msalaba  

Shikeni yaliyo bora, asije akafanya hasira Nanyi mkapotea njiani, Kwa kuwa hasira yake huwaka upesi; Heri wote wanaomkimbilia.


Naye mfalme atautamani uzuri wako, Maana ndiye bwana wako, nawe umsujudie.


Nao waliokuwamo ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao walikuwa na mashaka.


Na tazama, Yesu akakutana nao, akisema, Salamu! Wakakaribia wakamshika miguu, wakamsujudia.


Na tazama, akaja mtu mwenye ukoma akamsujudia, akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.


Wakamwabudu; kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kuu.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!


Yesu akasema, Mimi nimekuja ulimwenguni humu kwa hukumu, ili wao wasioona waone, nao wanaoona wawe vipofu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo