Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 9:36 - Swahili Revised Union Version

36 Naye akajibu akasema, Ni nani, Bwana, nipate kumwamini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Huyo mtu akajibu, “Mheshimiwa, niambie yeye ni nani, ili nipate kumwamini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Huyo mtu akajibu, “Mheshimiwa, niambie yeye ni nani, ili nipate kumwamini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Huyo mtu akajibu, “Mheshimiwa, niambie yeye ni nani, ili nipate kumwamini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Yule mtu akamjibu, “Yeye ni nani, Bwana? Niambie ili nipate kumwamini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Yule mtu akamjibu, “Yeye ni nani, Bwana? Niambie ili nipate kumwamini.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Naye akajibu akasema, Ni nani, Bwana, nipate kumwamini?

Tazama sura Nakili




Yohana 9:36
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mpendwa wa namna gani ni mpendwa wako, Wewe uliye mzuri katika wanawake, Mpendwa wa namna gani ni mpendwa wako, Hata wewe utusihi hivyo?


Wewe ndiwe yule ajaye, au tumngojee mwingine?


Yesu aligeuka, akawaona wakimfuata, akawaambia, Mnatafuta nini? Wakamwambia, Rabi, (maana yake, Mwalimu), unakaa wapi?


Yesu akamwambia, Umemwona, naye anayesema nawe ndiye.


Basi wamwiteje yeye wasiyemwamini? Tena wamwaminije yeye wasiyemsikia? Tena wamsikieje pasipo mhubiri?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo