Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 9:33 - Swahili Revised Union Version

33 Kama huyo asingalitoka kwa Mungu, asingeweza kutenda neno lolote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Kama huyu mtu hakutoka kwa Mungu, asingeweza kufanya lolote.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Kama huyu mtu hakutoka kwa Mungu, asingeweza kufanya lolote.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Kama huyo asingalitoka kwa Mungu, asingeweza kutenda neno lolote.

Tazama sura Nakili




Yohana 9:33
4 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo alimjia usiku, akamwambia, Rabi, tunajua ya kuwa u mwalimu, umetoka kwa Mungu; kwa maana hakuna mtu awezaye kuzifanya ishara hizi uzifanyazo wewe, isipokuwa Mungu yu pamoja naye.


Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa na utengano kati yao.


Tokea hapo haijasikiwa ya kuwa mtu ameyafumbua macho ya mtu, ambaye alizaliwa kipofu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo