Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 8:18 - Swahili Revised Union Version

18 Mimi ndimi ninayejishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma ananishuhudia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma, ananishuhudia pia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma, ananishuhudia pia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma, ananishuhudia pia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma hunishuhudia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Mimi najishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma hunishuhudia.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Mimi ndimi ninayejishuhudia mwenyewe, naye Baba aliyenituma ananishuhudia.

Tazama sura Nakili




Yohana 8:18
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu yeyote atakayemwua mtu, huyo mwuaji atauawa kwa vinywa vya mashahidi; lakini shahidi mmoja hatashuhudia juu ya mtu akauliwa.


Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.


Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio wangu nawajua; nao walio wangu wanijua mimi;


Mimi na Baba tu mmoja.


Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, hata akifa, atakuwa anaishi;


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.


Basi wakamwambia, U nani wewe? Yesu akawaambia, Hasa neno lilo hilo ninalowaambia.


Niliyoyaona kwa Baba ndiyo niyanenayo; nanyi vivyo hivyo mliyoyasikia kwa baba yenu ndiyo myatendayo.


Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele.


Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Kabla ya Abrahamu kuwako, mimi niko.


Mungu naye akishuhudia pamoja nao kwa ishara na ajabu na nguvu za namna nyingi, na kwa karama za Roho Mtakatifu, kama alivyopenda mwenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo