Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 8:17 - Swahili Revised Union Version

17 Tena katika torati yenu imeandikwa kwamba, Ushuhuda wa watu wawili ni kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Imeandikwa katika sheria yenu ya kwamba ushahidi wa watu wawili ni halali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Imeandikwa katika sheria yenu ya kwamba ushahidi wa watu wawili ni halali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Imeandikwa katika sheria yenu ya kwamba ushahidi wa watu wawili ni halali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Imeandikwa katika Torati yenu kwamba ushahidi wa watu wawili ni thabiti.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Imeandikwa katika Torati yenu kwamba ushahidi wa watu wawili ni thabiti.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Tena katika torati yenu imeandikwa kwamba, Ushuhuda wa watu wawili ni kweli.

Tazama sura Nakili




Yohana 8:17
13 Marejeleo ya Msalaba  

mkawaketishe watu wawili, watu walaghai, ili wamshitaki, na kumshuhudia, kunena, Umemtukana Mungu na mfalme. Kisha mchukueni nje, mkampige kwa mawe, ili afe.


Mtu yeyote atakayemwua mtu, huyo mwuaji atauawa kwa vinywa vya mashahidi; lakini shahidi mmoja hatashuhudia juu ya mtu akauliwa.


La, kama hasikii, chukua pamoja nawe tena mtu mmoja au wawili, ili kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno lithibitike.


Yesu akawajibu, Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu?


Lakini litimie lile neno lililoandikwa katika torati yao, Walinichukia bure.


Hii ndiyo mara yangu ya tatu kuja kwenu. Kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno litathibitishwa.


Hivyo torati imekuwa kiongozi kutuleta kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani.


Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je! Hamwisikii sheria?


Huyo atakayeuawa na auawe kwa midomo ya mashahidi wawili, au mashahidi watatu; asiuawe kwa mdomo wa shahidi mmoja. Ebr 10:28


Shahidi mmoja asimwinukie mtu awaye yote kumshuhudia kwa uovu wowote, wala kwa dhambi yoyote, katika makosa akosayo yoyote; jambo na lithibitishwe kwa vinywa vya mashahidi wawili, au watatu.


Mtu aliyeidharau Sheria ya Musa hufa pasipo huruma, kwa neno la mashahidi wawili au watatu.


Kisha wako watatu washuhudiao duniani], Roho, na maji, na damu; na watatu hawa hupatana kwa habari moja. Tukiupokea ushuhuda wa wanadamu, ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi; kwa maana ushuhuda wa Mungu ndio huu, kwamba amemshuhudia Mwanawe.


Nami nitawaruhusu mashahidi wangu wawili, nao watatoa unabii siku elfu na mia mbili na sitini, wakiwa wamevikwa magunia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo