Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 6:69 - Swahili Revised Union Version

69 Nasi tumeamini, tena tumejua, ya kuwa wewe ndiwe Mtakatifu wa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

69 Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

69 Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

69 Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

69 Tunaamini na kujua kuwa wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

69 Tunaamini na kujua kuwa wewe ndiwe Aliye Mtakatifu wa Mungu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

69 Nasi tumeamini, tena tumejua, ya kuwa wewe ndiwe Mtakatifu wa Mungu.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:69
18 Marejeleo ya Msalaba  

Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.


Mwanzo wa Injili ya Yesu Kristo, Mwana wa Mungu.


akisema, Tuna nini nawe, Yesu wa Nazareti? Je! Umekuja kutuangamiza?


Naye akawauliza, Na ninyi mnasema ya kuwa mimi ni nani? Petro akamjibu, akamwambia, Wewe ndiwe Kristo.


Akawaambia, Nanyi mwasema ya kwamba mimi ni nani? Petro akamjibu akasema, Ndiwe Kristo wa Mungu.


Kesho yake alimwona Yesu akija kwake, akasema, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu!


Huyo akamwona kwanza Simoni, ndugu yake mwenyewe, akamwambia, Tumemwona Masihi (maana yake, Kristo).


je! Yeye ambaye Baba alimtakasa, akamtuma ulimwenguni, ninyi mnamwambia, Unakufuru; kwa sababu nilisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?


Akamwambia, Naam, Bwana, mimi nimesadiki ya kwamba wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yule ajaye ulimwenguni.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!


Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini muwe na uzima kwa jina lake.


Wakawa wakiendelea njiani, wakafika mahali penye maji; yule towashi akasema, Tazama, maji haya; ni nini kinachonizuia nisibatizwe? [


yaani, habari za Mwanawe, aliyezaliwa katika ukoo wa Daudi kwa jinsi ya mwili,


hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;


Nasi tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu kwetu sisi, na kuliamini. Mungu ni upendo, naye akaaye katika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.


Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo amezaliwa na Mungu. Na kila mtu ampendaye mwenye kuzaa, ampenda hata yeye aliyezaliwa na yeye.


Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo