Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 3:33 - Swahili Revised Union Version

33 Yeye aliyeukubali ushuhuda wake ametia mhuri ya kwamba Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Lakini mtu yeyote anayekubali ujumbe wake anathibitisha kwamba Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Lakini mtu yeyote anayekubali ujumbe wake anathibitisha kwamba Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Lakini mtu yeyote anayekubali ujumbe wake anathibitisha kwamba Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Lakini yeyote anayekubali huo ushuhuda anathibitisha kwamba, Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Lakini yeyote anayekubali huo ushuhuda anathibitisha kwamba Mwenyezi Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Yeye aliyeukubali ushuhuda wake ametia mhuri ya kwamba Mungu ni kweli.

Tazama sura Nakili




Yohana 3:33
17 Marejeleo ya Msalaba  

Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele; ambacho Mwana wa Adamu atawapa, kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa mhuri na Baba, yaani, Mungu.


Ninayo mengi ya kusema na kuhukumu juu yenu; lakini yeye aliyenituma ni kweli, nami niliyoyasikia kwake, ndiyo ninenayo katika ulimwengu.


Basi nikiisha kuimaliza kazi hiyo, na kuwatilia mhuri tunda hilo, nitapitia kwenu, kwenda Spania.


Naye aliipokea dalili hii ya kutahiriwa, mhuri wa ile haki ya imani aliyokuwa nayo kabla hajatahiriwa; apate kuwa baba yao wote waaminio, ijapokuwa hawakutahiriwa, ili na wao pia wahesabiwe haki;


Kwa maana ikiwa mimi si mtume kwa wengine, lakini ni mtume kwenu ninyi; kwa maana ninyi ndinyi mhuri wa utume wangu katika Bwana.


Lakini kama Mungu alivyo mwaminifu, neno letu kwenu si Ndiyo na Siyo.


naye ndiye aliyetutia mhuri akatupa arabuni ya Roho mioyoni mwetu.


Nanyi pia katika huyo mmekwisha kulisikia neno la kweli, Habari Njema za wokovu wenu; tena mmekwisha kumwamini yeye, na kutiwa mhuri na Roho yule wa ahadi aliye Mtakatifu.


Wala msimhuzunishe yule Roho Mtakatifu wa Mungu; ambaye kwa yeye mlitiwa mhuri hata siku ya ukombozi.


Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye mhuri huu, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila aliitaye jina la Bwana na auache uovu.


Katika neno hilo Mungu, akitaka kuwaonesha zaidi sana warithio ile ahadi, jinsi mashauri yake yasivyoweza kubadilika, alitia kiapo katikati;


Tukisema kwamba hatukutenda dhambi, tunamfanya Yeye kuwa mwongo wala neno lake halimo ndani yetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo