Yohana 20:9 - Swahili Revised Union Version9 Kwa maana hawajalifahamu bado andiko, ya kwamba imempasa kufufuka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Walikuwa bado hawajaelewa Maandiko Matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka kwa wafu). Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Walikuwa bado hawajaelewa Maandiko Matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka kwa wafu). Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Walikuwa bado hawajaelewa Maandiko Matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka kwa wafu). Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 (Kwa kuwa hadi wakati huo walikuwa bado hawajaelewa kutoka Maandiko kwamba ilikuwa lazima Isa afufuke kutoka kwa wafu.) Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 (Kwa kuwa mpaka wakati huo walikuwa bado hawajaelewa kutoka Maandiko kwamba ilikuwa lazima Isa afufuke kutoka kwa wafu). Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Kwa maana hawajalifahamu bado andiko, ya kwamba imempasa kufufuka. Tazama sura |