Yohana 20:8 - Swahili Revised Union Version8 Basi ndipo alipoingia naye yule mwanafunzi mwingine aliyekuwa wa kwanza kufika kaburini, akaona na kuamini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyetangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaamini. ( Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyetangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaamini. ( Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Kisha yule mwanafunzi mwingine aliyetangulia kufika kaburini, akaingia pia ndani, akaona, akaamini. ( Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kisha yule mwanafunzi aliyetangulia kufika kaburini akaingia ndani, akaona, na akaamini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kisha yule mwanafunzi aliyetangulia kufika kaburini naye akaingia ndani, akaona, akaamini. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Basi ndipo alipoingia naye yule mwanafunzi mwingine aliyekuwa wa kwanza kufika kaburini, akaona na kuamini. Tazama sura |