Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 20:29 - Swahili Revised Union Version

29 Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Yesu akamwambia, “Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Yesu akamwambia, “Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Yesu akamwambia, “Je, unaamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Isa akamwambia, “Umeamini kwa kuwa umeniona? Wamebarikiwa wale ambao hawajaona lakini wameamini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Isa akamwambia, “Umeamini kwa kuwa umeniona? Wamebarikiwa wale ambao hawajaona lakini wameamini.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.

Tazama sura Nakili




Yohana 20:29
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini, heri macho yenu, kwa kuwa yanaona; na masikio yenu, kwa kuwa yanasikia.


Naye heri aliyesadiki; kwa maana yatatimizwa aliyoambiwa na Bwana.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!


Basi ndipo alipoingia naye yule mwanafunzi mwingine aliyekuwa wa kwanza kufika kaburini, akaona na kuamini.


Basi Yesu akamwambia, Msipoona ishara na maajabu hamtaamini kabisa?


(Maana twaenenda kwa imani, si kwa kuona.)


Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni kusadiki mambo yasiyoonekana.


Kwa imani akatoka Misri, asiogope ghadhabu ya mfalme; maana alistahimili kama amwonaye yeye asiyeonekana.


Na watu hao wote wakiisha kushuhudiwa kwa sababu ya imani yao, hawakuipokea ahadi;


Naye mwampenda, ijapokuwa hamkumwona; ambaye ijapokuwa hamumwoni sasa, mnamwamini; na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, yenye utukufu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo