Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 20:28 - Swahili Revised Union Version

28 Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Thoma akamjibu, “Bwana wangu na Mungu wangu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Tomaso akamwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Tomaso akamwambia, “Bwana wangu na Mungu wangu!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!

Tazama sura Nakili




Yohana 20:28
22 Marejeleo ya Msalaba  

Naye mfalme atautamani uzuri wako, Maana ndiye bwana wako, nawe umsujudie.


Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele, Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya adili.


Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.


Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto wa kiume, naye atamwita jina lake Imanueli.


Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto wa kiume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.


Angalieni, namtuma mjumbe wangu, naye ataitengeneza njia mbele yangu; naye Bwana mnayemtafuta atalijia katika hekalu lake ghafla; naam, yule mjumbe wa agano mnayemfurahia, angalieni, anakuja, asema BWANA wa majeshi.


Nao waliokuwamo ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Wakamwabudu; kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kuu.


Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.


Yesu akamwambia, Mariamu. Yeye akageuka, akamwambia kwa Kiebrania, Raboni! (Yaani, Mwalimu wangu).


Kisha akamwambia Tomaso, Lete hapa kidole chako; uitazame mikono yangu; ulete na mkono wako uutie ubavuni mwangu, wala usiwe asiyeamini, bali aaminiye.


Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.


Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini muwe na uzima kwa jina lake.


ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.


Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulikana kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo