Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 12:4 - Swahili Revised Union Version

4 Basi Yuda Iskarioti, mmojawapo wa wanafunzi wake, ambaye ndiye atakaye kumsaliti, akasema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Basi, Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili ambaye ndiye atakayemsaliti Yesu, akasema,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Basi, Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili ambaye ndiye atakayemsaliti Yesu, akasema,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Basi, Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili ambaye ndiye atakayemsaliti Yesu, akasema,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Ndipo Yuda Iskariote mwana wa Simoni, mmoja wa wanafunzi wa Isa, ambaye baadaye angemsaliti Isa, akasema,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Ndipo Yuda Iskariote mwana wa Simoni, mmoja wa wale wanafunzi ambaye ndiye angemsaliti Isa, akasema,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Basi Yuda Iskarioti, mmojawapo wa wanafunzi wake, ambaye ndiye atakayemsaliti, akasema,

Tazama sura Nakili




Yohana 12:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tena nikagundua kuwa juhudi zote, na ustadi wote katika kazi, hutokana na mtu kumwonea mwingine wivu. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.


Simoni Mkananayo, na Yuda Iskarioti, naye ndiye aliyemsaliti.


Wakati huo mmoja wa wale Kumi na Wawili, jina lake Yuda Iskarioti, aliwaendea wakuu wa makuhani,


na Yuda wa Yakobo, na Yuda Iskarioti, ndiye aliyekuwa msaliti.


Mbona marhamu hii haikuuzwa kwa dinari mia tatu, wakapewa maskini?


Hata wakati wa chakula cha jioni; naye Ibilisi amekwisha kumtia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti, moyo wa kumsaliti;


Basi Yesu akajibu, Ndiye mtu yule nitakayemtowelea tonge na kumpa. Akatowelea tonge, akalitwaa akampa Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo