Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 10:34 - Swahili Revised Union Version

34 Yesu akawajibu, Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Yesu akawajibu, “Je, haikuandikwa katika sheria yenu: ‘Mimi nimesema, nyinyi ni miungu?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Yesu akawajibu, “Je, haikuandikwa katika sheria yenu: ‘Mimi nimesema, nyinyi ni miungu?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Yesu akawajibu, “Je, haikuandikwa katika sheria yenu: ‘Mimi nimesema, nyinyi ni miungu?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Isa akawajibu, “Je, haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Nimesema kuwa ninyi ni “miungu”’?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Isa akawajibu, “Je, haikuandikwa katika Torati ya kwamba, ‘Nimesema kuwa, ninyi ni miungu?’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Yesu akawajibu, Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu?

Tazama sura Nakili




Yohana 10:34
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nitakushukuru kwa moyo wangu wote, Mbele ya miungu nitakuimbia zaburi.


Mungu asimama katika kusanyiko la Mungu; Katikati ya miungu anahukumu.


Usimtukane Mungu, wala usimlaani mkuu wa watu wako.


Naye atakuwa msemaji wako kwa watu, hata yeye atakuwa mfano wa kinywa kwako, nawe utakuwa mfano wa Mungu kwake.


BWANA akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa kama Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruni atakuwa nabii wako.


Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiwa na neno la Mungu; (na maandiko hayawezi kutanguka);


Basi mkutano wakamjibu, Sisi tumesikia katika torati ya kwamba Kristo adumu hata milele; nawe wasemaje ya kwamba imempasa Mwana wa Adamu kuinuliwa? Huyu Mwana wa Adamu ni nani?


Lakini litimie lile neno lililoandikwa katika torati yao, Walinichukia bure.


Tena katika torati yenu imeandikwa kwamba, Ushuhuda wa watu wawili ni kweli.


Imeandikwa katika torati, Nitasema na watu hawa kwa watu wa lugha nyingine, na kwa midomo ya wageni, wala hata hivyo hawatanisikia, asema Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo